22.11.13

Thursday, October 20, 2011

UMEGUNDUA NINI KWENYE PICHA HII......

22 comments:

Anonymous said...

Mimi nimegundua kuwa kijana lugha inampiga chenga

Anonymous said...

haha hah ahaa Linex bwana, chezea lugha za watu wewe,lazima ukunje sura

Anonymous said...

Inaonyesha ni kwa jinsi gani wasanii wa bongo hawasomi magazeti kama hayo wamezoea udaku tu

Anonymous said...

nimeipenda hii picha, sina comments

Anonymous said...

uiangalia mkono wake ameonesha chadema

Muddy Nice said...

Hi Choka,
Yaani hii picha ukiiangalia kwa umakini utagundua dog Linex anazuga na gazeti ili apige nalo picha, unajua kwanini nasema hivyo mzazi, we angalia mikono yake, sasa wewe utakuwaje unasoma gazeti serious kisha unaweka vidole kushow love, kisha mkuu kweli kusoma gani uko uku umekunja sura, au ndio kusema lugha inakuwa mgogoro?.

Anonymous said...

Jamaa hasomi ilo Gazeti cause macho yameangalia katikati ya mstari wakutenganisha kurasa za Gazeti.Ameshika kushow off na kupigia Picha

Anonymous said...

yaani apo ni kichina china zuga tym lugha gongana

kilinyepesi said...

uko kwenye nyumba ya udongo

Anonymous said...

english 'ngumu kumesa'!!!!

The night crawlers said...

inaonekana ameshtushwa na habari amabyo hakutegemea

Anonymous said...

lugha gongana hapo

Anonymous said...

ninamshaka na mahali anaposoma inaoneka km ni column vile au anasoma/ameelekeza macho katikati ya gazeti so anaingia km anasoma kumbe anazuga

Anonymous said...

Hahahahahah Linex anatafuta maneno kwa msisitizo na sura kakunja. hapo yupo eehh this eehh that. Mchizi Linex kujua kithungu kugumu sio rahisi kama makamasi kila mtu anapata.

Anonymous said...

Hahahahaha akitoka hapo anaona kizungu zungu, Babuuuuu lugha za watu si mchezo.

Anonymous said...

dah!!nimechekaa sanaa jamaaa kikristo akipandi,zugaa time inawezekana alikuwa anacheki pichaaaa

Anonymous said...

anaangalia picha tu hapo mchizi

Anonymous said...

ngeli nomaaaaa ,

hivi ingekuwa ni gazeti la udaku sijui watu wangesemaje? ila poa all in all linex mkali

Anonymous said...

mchizi kunaneno linampiga chenga so anajitahidi kulidadavua.

eli mkamba said...

nahisi kastuka na kifo cha Ghadafi...., sio lugha gongana..., nyc pic kiukweli..

Anonymous said...

duh. jamaa anaangalia katikati kwenye mstar utenganishao pande mbili za gazeti.

Anonymous said...

choka mchokozi