22.11.13

Tuesday, September 18, 2012

BAGHDAD AVUKA BODA.

Msanii aliezuiliwa kufanya show, kupiga intaview, wala kolabo ili kupisha muda wa kuanda ngoma ambazo yuko mbioni kuingia both beat produced by c.e.o wa chofacho rec studio iliyoko marekani ambae ndio inamsimamia msanii huyo kwa sasa imeamua kufungua website kwa ajili ya kuweka mambo yanayohusu mziki, maisha na harkati anazozifanya mbali na mziki, ukitaka kutembelea website ya msanii huyo tembelea 
www.baghdad 255.wordpress.com

No comments: