22.11.13

Tuesday, April 23, 2013

(News) CRISS WAMARYA SASA ANAITWA BABA

Mwanamuziki  wa  muziki wa  bongo  freva  toka  mkoania  Morogoro,  anayetamba  na  wimbo  wake  mpya  wa  rudi,  Criss   wamarya  usiku  wa kuamkia  leo,  ameongezeka  jina  lingine  la kuitwa  baba. 

Kwa  mujibui  wa  criss  wamrya  ni  kwamba  jana  usiku  katika  Hospuital  ya  mkoa  wa  Morogo, amepoke  taarifa  nzuri  ya  kupata  mtoto  wa  kiume  ambaye  ndiye  mtoto  wa  kwanza  wa  msanii  huyo

  Big  up  kwako  Criss  blog  hii  inakupa  ongera  na malezi  mema  kwa  mtotot wetu  mpendwa.

2 comments:

Anonymous said...

Mzuka mwingi mzaz"

Anonymous said...

Mia mia bro"