22.11.13

Friday, June 14, 2013

(News) Ratiba ya mazishi ya LANGA KILEO

Ratiba ya mazishi ya ndugu yetu Langa Kileo itakuwa kama ifuatavyo, msiba upo nyumbani kwa wazazi wa Langa maeneo ya Mikocheni nyuma ya Hosp ya AAR  zamani kulikuwa na ofisi za Benchmark Production. Mwili wa marehemu utaagwa siku ya Jumatatu majira ya saa 7 mchana na baada ya hapo mwili utaelekea makaburi ya Kinondoni kwa mazishi majira ya saa kumi alasiri.

8 comments:

Anonymous said...

Rest in peace 'Matawi ya Juu'

Anonymous said...

Upumzike kwa amani brother.

Anonymous said...

R.I.P

Anonymous said...

R I P LANGA.WE GONNA MIC U A LOT BRO.XAY HOLAA TO BRO NGWEA

Unknown said...

RIP Langa

Unknown said...

RIP Langa

Anonymous said...

Rest in pc bro........

Anonymous said...

R.I.P ma men Langa Kileo