22.11.13

Tuesday, July 23, 2013

(News) DJCHOKAblog yapata views Mil 8 na washindi wawili wapatikana.

Thanks GOD, Thanks ALL wadau na mashabiki wa #DJCHOKAblog kwa kutembelea blog mpaka leo hii tunafikisha views mil 8. Sina cha kuwalipa zaidi ya neno NASHUKURU kwa yote, hawa ndio washindi waliobahatika kuiona namba hii 8000000 na wakanitumia email fasta. Mmoja anaitwa SAIDY SOBO email yake ni saidsobo@yahoo.com, GODFREY PATRICK email yake ni godfrey.mbilinyi@yahoo.com

5 comments:

Anonymous said...

Pamoa sana DJ Choka....wee ni noma sana unajituma kutupa habari kwa sisi wa nje tunajiona kama tupo nyumbani

Anonymous said...

tishaa

Anonymous said...

KAZA BUTI MDOGO WANGU UTAFIKA TU

Anonymous said...

TUNAIPENDA BLOG YETU

Anonymous said...

SaLuTe Dj chOka uPo pOa fanYa yakO ww ndiO kaMa muAnziLishi wa sTorY za kiburuDaaNi Tz jaPo sOmeTime uNapoTeza diRecTioN ...

Dj Rogiekiss