22.11.13

Wednesday, November 18, 2009

NIMEJITOA KWENYE KUNDI LA RACKARZ

Mimi kama Moracka niliyelianzisha kundi la Rackarz nikiwa na mwenzangu Chief Racka, nimeamua kuachia uwongozi na kumpatia mwenzangu Chief Racka ambaye yuko India masomoni, nimeamua kufanya hivyo kwasababu nimeamua kuwa peke yangu nakufanya mambo yangu mengine ila mziki utakuwa pale pale. Sina bifu wala matatizo yoyote na wenzangu ila nimeamua tu kuwa free.

5 comments:

Anonymous said...

hahhahahaaha unanichekeshaaaaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

Mbona haueleweki? kundi la kwanza ulijitoa na hili vilevile, watz up! hujiamini?

Anonymous said...

Mbona hujiamini? kila kundi unajitoa. Acha kutuzingua kama vipi pumzika kwanza

Anonymous said...

mbona hujiamini? we kila kundi unajitoa, kama vipi pumzika kwanza

Anonymous said...

who's this?