Anaitwa Black Rhino aka The Dandada, mtoto anayetokea kwenye familia yenye akili nyingi sana nikimaanisha familia ya mzee Haule. Juzi tarehe 11 mwezi huu Black Rhino ilikuwa ni Graduation yake pale Chuo kikuu cha Mzumbe(Morogoro).
Alikuwa anatunikiwa Degree ya Biashara na Masoko yaani BACHELOR OF BUSINESS ADMINISTRATION IN MARKETING MANAGEMENT. Ilikuwa ni furaha na nderemo kwenye familia hiyo, namnukuu
"Dj Choka namshukuru mungu kwani nilikuwa na wakati mgumu wa kufanya mziki huku nasoma, ila nilivumilia na nikaweza kupigana nayo, na sasa ninadegree yangu."
Alikuwa anatunikiwa Degree ya Biashara na Masoko yaani BACHELOR OF BUSINESS ADMINISTRATION IN MARKETING MANAGEMENT. Ilikuwa ni furaha na nderemo kwenye familia hiyo, namnukuu
"Dj Choka namshukuru mungu kwani nilikuwa na wakati mgumu wa kufanya mziki huku nasoma, ila nilivumilia na nikaweza kupigana nayo, na sasa ninadegree yangu."
1 comment:
Nimefurahi kumuona dada viola huyu nae alikuwa anaimba sana enzi hizo tunasoma morogoro
miaka inakwenda kweli duh!!
Post a Comment